Nataka kuset scanner iwe kwenye LAN, nimejaribu nimeshindwa. Nani ana idea anisaidie
Mimi Lulu shamse
Zanzibar
Wednesday, September 10, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TUMIA HII BLOG KUPATA MAJIBU YA SWALI LAKO LA IT KAMA VILE KUSET/CONFIG PROXY SERVER,PBX,LAN,ATM etc UANZE VIPI?? n.k PIA HABARI ZA MICHEZO DUNIA KOTE HADI MCHANGANI,TUMA HABARI ZA MICHEZO via michezotechno@gmail.com USITUMIE MATUSI TAFADHARI.
1 comment:
Sijawahi lakini naweza kusema kuwa baada ya kuset network yako kuwa katika workgroup kisha jaribu kuright click scanner, kwani hakuna option ya sharing hapo.
John(ict4rd technician- Serengeti)
Post a Comment